Posts

Showing posts from July 30, 2017

MKUU WA WILAYA YA MPANDA ATAKA WANANCHI WASIUZE CHAKULA OVYO KUEPUKA BAA LA NJAA-Julai 30,2017

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi Bi. Lilian Charles Matinga ametoa wito kwa wananchi wilayani Mpanda kutunza chakula walichovuna katika msimu huu ili kujiepusha na baa la njaa linaloweza kujitokeza.

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA YATENGA ENEO LA UJENZI SHULE SEKONDARI YA KATA YA KASEKESE-Julai 30,2017

Image
Mkuu wa Wilaya Tanganyika Salehe Mhando akisaini katika daftari la wageni  Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi,imetenga eneo kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari ya kata katika kata ya kasekese wilayani humo.