Posts

Showing posts from January 27, 2016

BREAKING NEWS : WAHAMIAJI HARAMU 8 RAIA WA ETHIOPIA WANASWA IRINGA-P5 TANZANIA INAKUSOGEZEA HIYO

Image
Na.Issack Gerald-Iringa Jeshi la polisi Mkoani Iringa limewakamata wahamiaji haramu 8 Raia wa Ethiopia waliokiuwa wakisafiri isivyo halali na bila kibali cha kuingia nchini wakiwa wamepakiwa na gari lililokuwa limebeba magazeti.                                                Kamanda wa Polisi Mkoani Iringa Peter Kakamba

ACHOMWA KISU WILAYANI MPANDA UTUMBO WATOKA NJE,MHUSIKA ATOKOMEA KUSIKOJULIKANA POLISI KUMSAKA MHUSIKA.

Na.Issack Gerald-Katavi Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Elia Edward(40), makazi wa mchangani alichomwa tumboni na kitu chenye ncha kali na kisha utumbo wake kutoka nje na mtu asiyemfahamu.