Posts

Showing posts from May 7, 2016

VIKUNDI 4 KATI YA 28 VYA WAJASILIAMALIVILIVYOPO KATA YA NSEMULWA MANISPAA YA MPANDA MKOANI KATAVI VIMEKABIDHIWA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 1 KUTOKA MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA JIMBO LA MPANDA MJINI.

Vikundi 4 kati ya 28 vya wajasiliamali vilivyopo kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,leo vimekabidhiwa mkopo kwa Shilingi milioni Moja kwa ajili kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

IDADI YA WATUMISHI HEWA YAZIDI KUPANDA KATAVI KUTOA 21 MWEZI ULIPOITA SASA 46 SERIKALI YAPATA HASARA ZAIDI YA MILIONI 200,MKUU WA MKOA WA KATAVI ATOA SIKU SABA KWA MKURUGENZI KUWAFUKUZA KAZI WATUMISHI HEWA

IDADI ya Watumishi hewa Mkoani Katavi imeongezeka Kutoka 21 ya awali na kufikia watumishi hewa 46 walioisababishia Serikali hasara ya Shilingi Milioni 200,792,448.