Posts

Showing posts from July 16, 2015

MGOMO DARADARA MPANDA NAULI KUPUNGUZWA,SUMATRA YASEMA WASIOTAKA NAULI ILIYOPANGWA NA SUMATRA WAPAKI MAGARI

Image
Baadhi ya daradara mjini Mpanda zikiwa zimepaki baada ya madereva  kusitisha safari  Na.Issack Gerald-Katavi Madereva wa daradara zinazosafirisha abiria kutoka Mpanda Mjini kuelekea kata ya Kakese leo wamegoma na kumlalamikia Meneja wa mamlaka ya uasafiri wa majini na nchi kavu Sumatra Mkoani Katavi kwa kushusha viwango vya nauli.

KIONGOZI MBIO ZA MWENGE MPANDA - ACHENI KUTOA NA KUPOKEA RUSHWA KUPATA VIONGOZI BORA

Image
Na.Issack Gerald-Katavi JAMII mkoani Katavi imetakiwa kuwafichua wagombea wanaotoa rushwa kupata uongozi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika oktoba mwaka huu, ili wapatikane viongozi bora watakaojali maslahi yao.