Posts

Showing posts from August 18, 2017

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI,WAMO WAWILI WA VYUO VIKUU,MWENYEKITI WA KAMPUNI YA KUHIFADHI MAFUTA,MWENYEKITI WA BARAZA LA USHINDANI -Agosti 18,2017

Image
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jonh Pombe Magufuli,amefanya uteuzi wa viongozi mbali mbali akiwemo Mkuu wa chuo kikuu cha Ardhi.

MADAKTARI BINGWA KUTOKA DAE SES SALAAM WATOWEKA BILA TAARIFA KWA WAGONJWA MKOANI KATAVI,WAGONJWA WAHAHA KUPATA MATIBABU,MGANGA MKUU MKOA WA KATAVI ASHIKWA KIGUGUMIZI KUSEMA HALI ILIVYO-Agosti 18,2017

Image
Mh.Anna Lupembe Mbunge viti Maalumu Katavi(PICHA na.Issack Gerald) WAGONJWA ambao wamewasili  Mjini Mpanda wakitokea maeneo mbalimbali Mkoani Katavi kwa lengo la kupimwa na kutibiwa na madaktari bingwa wameeleza kusikitishwa na hatua ya madaktari hao kuondoka ghafla bila kutoa taarifa hatua ambayo imesababisha wagonjwa kupoteza muda na gharama za usafiri.