Posts

Showing posts from July 10, 2015

MTOTO MIAKA 17 AFA MAJI MPANDA

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi MTOTO aliyefahamika kwa jina la Stanslaus Christopher mwenye umri wa miaka (17) Mkazi wa Mtaa wa Mpadeco Kata ya Makanyagio Wilayani Mpanda Mkoani Katavi, amekufa maji baada ya kutumbukia mtoni katika daraja la Kachoma.