Posts

Showing posts from July 14, 2017

WAKAZI MTAA WA MSASANI MKOANI KATAVI WAONGEZEWA MUDA WA KUONDOKA KUPISHA HIFADHI YA RELI MPANDA-Julai 14,2017

WAKAZI wa mitaa ya Msasani na Tambukareli Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wameongezewa miezi sita badala ya siku 30 walizokuwa wamepewa ili wawe wameondoka ndani ya mipaka ya hifadhi ya Reli.