Posts

Showing posts from February 2, 2016

MRATIBU ELIMU KATA WILAYANI MPANDA AUA SABABU WIVU WA MAPENZI ASHIKILIWA NA POLISI KATAVI.

Na.Issack Gerald-Mpanda Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Gidison Visent(32), mkazi wa Katuma aliuawa kwa kuchomwa na kisu kifuani na Mohamed Muna (59) mratibu elimu Kata mkazi wa Katuma.

ZAIDI YA WALIMU 3 WAFUNDISHA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU KATIKA UBAO MMOJA,DARASA MOJA WAKATI MMOJA MANISPAA YA MPANDA

Na.Issack Gerald-Mpanda ZAIDI ya walimu watatu wamekuwa wakifundisha wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Azimio katika darasa moja na ubao mmoja kwa darasa la kwanza hadi la saba kwa miaka saba sasa.