Posts

Showing posts from July 20, 2015

MPANDA GIZA NENE SUAL LA UMEME,TANESCO YASEMA UMEME KUTENGAMAA MIEZI MITATU IJAYO

Image
  Mafundi wakiwa katika matengenezo ya mitambo ya Tanesco Mpanda  NA.Issack Gerald-Mpanda Katavi SHUGHULI Za Uchumi Mkoani Katavi zimesimama kwa siku sita sasa Kutokana na Kukosekana kwa nishati ya Umeme.

KATAVI KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI KATIKA MIPAKA YAKE YA UTAWALA

Na.Issack Gerald-Katvi SERIKALI Mkoani Katavi imedhamilia Kumaliza Migogoro ya Aridhi kwa Kuweka utaratibu Utakaoishirikisha Jamii ambayo ndiyo huathiriwa Zaidi na Migogoro hiyo pale inapokuwa imetokea.

WAZIRI MKUU PINDA AKATAA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KATAVI,AWAACHIA WENGINE KUCHUKUA JIMBO HILO

Image
Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda NA.Issack Gerald-Mlele Katavi WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amekataa ombi la wananchi wa jimbo lake la uchaguzi la kumtaka agombee tena ubunge katika jimbo hilo ili kuendeleza mipango mbalimbali ya maendeleo aliyoianzisha.