Posts

Showing posts from July 13, 2015

WAGOMA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA MAENDELEO MPAKA WASOMEWE MAPATO NA MATUMIZI

Image
NA.Issack Gerald-Nsimbo Katavi Wakazi wa kijiji cha Magamba kilichopo kata ya Magamba Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi wamesema hawatashiriki shughuli mbalimbali za maendeleo zikiwemo  za ufyatuaji tofali za kijiji ikiwa hawatasomewa taarifa ya mapato na matumizi iliyo sahihi.