Posts

Showing posts from November 24, 2015

UONGOZI HOSPITALI YA WILAYA MPANDA WALALAMIKIWA KWA KUTOA HUDUMA DUNI KWA WAGONJWA

Na.Issack Gerald-MPANDA BAADHI ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda wameulalamikia uongozi wa hospital ya wilaya ya Mpanda kwa kutoa huduma isiyoridhisha.

WAKAZI KATAVI WATAKIWA KUWA TAYARI KWA USAFI DESEMBA 9

Na.Issack Gerald-MPANDA. WAKAZI Katika Mkoa wa Katavi wametakiwa Kuwatayari Kushiriki Katika zoezi la Kufanya usafi wa Mazingira litakalofanyika Nchi nzima December 9 Mwaka huu.

MAHAKAMA YATUPILIA MBALI PINGAMIZI LA POLISI

Na.Mwandishi wetu-Mwanza. Mahakama kuu kanda ya mwanza imetupilia pingamizi la  polisi kuzuia  waombolezaji kufanya ibada ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa geita Afonce Mawazo aliyeuwawa nov.14 mwakahuu kwa kukatwa mapanga.