Posts

Showing posts from February 29, 2016

WABUNGE VITI MAALUM MPANDA WATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA,WATOA MSAADA WAAHIDI MAKUBWA.

Na.Meshack Ngumba-Mpanda SERIKALI imeshauriwa kufanyia kazi changamoto zilizopo katika hospitali ya wilaya ya Mpanda ili kuwawezesha wananchi kupata huduma bora za afya.