Posts

Showing posts from August 24, 2016

WAZIRI MKUU WILAYANI SUMBAWANGA : WATUMISHI WATAKAOKULA FEDHA ZA CHF WAFUKUZWE KAZI NA NA WAFIKISHWE MAHAKAMANI

Image
Na.Issack Gerald Bathromo-Sumbawanga Rukwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kufukuzwa kazi na kufikishwa mahakamani kwa watumishi wote wa sekta ya afya watakaobainika kula fedha zinazochangwa na wananchi kwa ajili ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).                                      

ZIARA YA WAZIRI MKUU MKOANI RUKWA : HAKUNA MWANASIASA ATAKAYERUHUSIWA KUVURUGA AMANI

Image
Na.Issack Gerald Bathromo- Rukwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inalinda amani ya nchi kwa gharama zozote na kamwe haitoruhusu mwanasiasa yeyote kusababisha vurugu zitakazochochea uvunjifu wa amani. Waziri Mkuu akiwa Viwanja vya sabasaba Wilayani Nkasi Rukwa(PICHA NA.Issack Gerald) Agosti 23,2016                                              

WAKAZI WA KATA YA KAYENZE MKOANI MWANZA WAOMBA KUJENGEWA SEKONDARI YA KATA.

Image
Na.Albert Kavano-Mwanza. Wakazi wa Kata ya Kayenze Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wameiiomba serikali kuwajengea shule ya sekondari ya kata  kutokana na wanafunzi kutembea umbali wa zaidi kilometa 10 kutafuta elimu  kata jirani ya Sangabuye. Mandari Jiji la Mwanza                                  

WAZIRI MKUU WILAYANI NKASI : ATAKAYEVAMIA MSITU FAINI MIL. 70, JELA MIAKA SABA

Na.Issack Gerald Bathromo-Nkasi Rukwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mtu yeyote atakayekutwa na hatia ya kuvunja sheria kwa kuvamia na kuharibu mazingira ya msitu wa Mfili ambao ndiyo chanzo pekee cha maji cha Wilayani Nkasi atatozwa faini ya sh. milioni 70 pamoja na kifungo miaka saba jela.