Posts

Showing posts from August 2, 2015

BREAKING NEWS

Habari zilizotufikia hivi punde, Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Mpanda mkoani katavi Kupitia katibu wa chama hicho Bi Elizabeth Kasmiri ametangaza matoteo ya kura za maoni katika jimbo la uchaguzi la Mpanda mjini ngazi ya Ubunge ambayo ni kama ifuatavyo 1. Sebastian Kapufi 7,190 2. Galos Mgawe 2,359 3.Gabriel Mnyere 2000 Kufuatia matokeo hayo Sebastian Kapufi ametangazwa rasimi kuwa mgombea kiti cha ubunge kupitia Chama cha CCM mpanda mjini. Katika hatua nyingine Jimbo la Mpanda vijijini wakati matokeo yakiendelea kuhesabiwa,matokeo yaliyotangzwa pia na Bi Elizabeth Kasmiri yanayoonesha  kama ifuatavyo 1.Suleimani Kakoso 5,313 2.Wiliam Makufwe 1,872 3.Abdalah Sumry 1,685 Bado zoezi la kuhesabu kura  katika kata tano zilizobaki linaendela,endelea kuwa nasi kwa undani wa uahabri kadri tunavyoendelea kuzipata kutoka katika vyanzo vyetu vya habari.