Posts

Showing posts from August 21, 2017

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA YATENGA EKARI 2400 KWA AJILI YA UWEKEZAJI,SEKTA YA UFUGAJI,KILIMO,BIASHARA,UTALII,HUDUMA ZA JAMII NA MAKAZI YA WATU KUPEWA KIPAUMBELE-Agosti 21,2017

HALMASHAURI ya wilaya ya Mpanda mkoani katavi imesema  imetenga eneo la Luhafwe lenye ukubwa wa  ekari  2400  kwa ajili ya uwekezaji.

UGOMVI WA MKULIMA NA MFUGAJI WASABABISHA MAJERUHI KATAVI-Agosti 21,2017

WATU wawili wilayani Mpanda Mkoani Katavi wamejeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao baada ya kuzuka ugomvi uliosababishwa na  kile kilichodaiwa ni kupishana kauli kati ya mkulima na mfugaji katika kijiji cha mbugani kata ya Kakese iliyopo manispaa ya Mpanda.