Posts

Showing posts from May 26, 2016

WIZI WAENDELEA KULINDIMA MPANDA WAHUSIKA MAHAKAMA YAENDELEA KUFANYA KAZI YAKE KWA WATUHUMIWA

MAHAKAMA ya mwanzo mjini Mpanda mkoani Katavi   inamshikilia   mtu mmoja kwa kosa la wizi wa mfugo wenye thamani ya shilingi elfu arobaini na tano.

VIONGOZI SERIKALI ZA VIJIJI WILAYANI MPANDA WATAKIWA KUTOKIUKA SHERIA ZA UGAWAJI WA ARDHI

VIONGOZI wa serikali za   vijiji wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kutokiuka   utaratibu wa kisheria katika ugawaji wa ardhi kwa wannchi.

MALIASILI KATAVI WATUHUMIWA KUTEKETEZA ZAIDI YAN NYUMBA 40 NA MALI ZA RAIA ZILIZOKUWA NDANI

KAYA zaidi ya 40 zimechomwa moto   na mali zilizokuwa ndani Katika kijiji cha Misanga Kata ya Tongwe Halmashauri ya Tanganyika   na watu wanaosadikika   kuwa ni maliasiri.