Posts

Showing posts from July 21, 2015

WALAZIMIKA KULA VYAKULA WAKIWA NDANI YA NETI WAKIWAKIMBIA NZI

Image
Moja ya madampo ya taka yanayotoa taka Mpanda mtaa wa Kashaulili NA.Meshack Ngumba-Katavi WAKAZI wa Mtaa wa Kashaulili  Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi hulazimika Kula chakula wakiwa ndani ya Neti kutokana na eneo hilo kuwa na inzi wengi.