Posts

Showing posts from May 10, 2016

HALMSHAURI YA WILAYA YA MPANDA YAZINDUA MNADA MPYA WA BULAMATA,ULINZI KUIMARISHWA SIKU ZA MNADA

Image
HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda   Mkoani Katavi imezindua Mnada mpya wa mifugo wa Bulamata uliopo kata ya Bulamata ambapo pia bidhaa tofauti na mifugo zinatarajiwa kuuzwa katika mnada huo. Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Mh.Hamad Hassan Mapengo akikata utepe wakati wa uzinduzi wa mnada wa Bulamata (PICHA NA.Issack Gerald Mei 10,2016)                             Afisa Mifugo Halmshjauri ya Wilaya ya Mpanda Bw.Elikana Magambo akizungumza na Wakazi wa Kijiji cha Bulamata  na maeneo jirani wakati wa uzinduzi wa Mnada wa Bulamata(PICHA NA.Issack Gerald Mei 10,2016) Ng'ombe wakiwa mnadani siku ya uzinduzi wa a wa BulamataMnad(PICHA NA.Issack Gerald Mei 10,2016) Mmoja wa wapishi katika mnada wa Bulamata siku ya Uzinduzi(PICHA NA.Issack Gerald Mei 10,2016) Mama akitengeneza kitoweo cha wateja  katika mnada wa Bulamata siku ya Uzinduzi(PICHA NA.Issack Gerald Mei 10,2016) Baadhi ya wafanyabiasahara wadogo katika mnada wa Bulamata siku ya Uzinduz

RIPOTI KAMILI YA TAKUKURU MKOANI KATAVI KUWABULUZA MAHAKAMANI WATU WATATU KATI YA WATANO HII HAPA

TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa wa Katavi TAKUKURU imewafikisha watu watatu katika mahakama ya wilaya ya   Mpanda kwa kosa la uhujumu uchumi.

WANANCHI WILAYANI MLELE WATAKIWA KUWA MABALOZI WA MFUKO WA BIMA YA AFYA WA CHF

Image
WANANCHI katika kata ya Ilunde Halmashauri ya Wilaya ya Mlele mkoani katavi wametakiwa kuwa mabalozi katika maeneo mbalimbali katika uhamasishaji wa wananchi kujiunga na mfuko wa jamii wa bima ya afya CHF.