Posts

Showing posts from September 23, 2017

VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU MKOANI KATAVI VYAOMBA UKAMATAJI WATU WENYE ULEMAVU UZINGATIE HALI ZAO WANAPOTUHUMIWA KUFANYA KOSA-Septemba 23,2017

Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi VYOMBO vya ulinzi na usalama Mkoani Katavi vimeombwa kutotumia nguvu kubwa katika kuwakamta watu wenye ulemavu na badala yake watumie wataalamu kwa kujali hali za ulemavu walizonazo.

MWANAMKE MKOANI RUKWA AMJERUHI MMEWE KWA KISU AKIDAI ANAKATIZWA STAREHE YA KUNYWA POMBE-Septemba 23,2017

Na.Issack Gerald-Naksi Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Maria Mwanahiya  mkazi wa  kijiji cha Ntatumbila  wilaya Nkasi mkoani Rukwa  amemjeruhi vibaya mume wake kwa kumchoma kisu ubavuni kwa madai kuwa alipata hasira baada ya kukerwa na kitendo cha mume wake kumlazimisha kuacha starehe zake ikiwemo kunywa pombe.

RAIS MAGUFULI ATANGAZA AJIRA 3000 ZA WANAJESHI WAPYA-Septemba 23,2017

Image
Rais wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi Dkt. John Pombe Magufuli, ametangaza kutoa ajira kwa wanajeshi 3000 wapya mwaka huu,ili jeshi la Tanzania liwe na askari wa kutosha.

MWILI WA ASKARI WA JWTZ KUAGWA JUMATATU-Septemba 23,2017

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema mwili wa marehemu Praiveti Mussa Jumanne ambaye ameuawa nchini DRC uanatarajiwa kuagwa Jumatatu ya wiki ijayo.

RAIS WA ZANZIBAR ATEUA VIONGOZI WA TAASISI MBALIMBALI-Septemba 23,2017

Image
Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi wapya na kufanya mabadiliko katika baadhi ya taasisi mbalimbali za Serikali.