Posts

Showing posts from December 11, 2015

HABARI PICHA DAR ILIVYOKUWA KILELE CHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATIRI JANA

Image

MADIWANI NSIMBO WATAKIWA KUSIMAMIA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Na.Issack Gerald-NSIMBO Baraza la madiwani la halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi, limetakiwa kusimamia kikamilifu shughuli za maendeleo katika kata zao pamoja na kutunza siri za serikali.

ASKARI 38 WA WANYAMA PORI WATUNUKIWA VYETI KATAVI

Na.Issack Gerald-MPANDA Jumla ya wahitimu 38 walioshiriki mafunzo awamu ya pili ya Kijeshi katika Hifadhi ya Wanyama pori Katavi, wametunukiwa vyeti katika madaraja mbalimbali.

MADIWANI MPANDA WATAKIWA KUWAJIBIKA KWA WANANCHI

Na.Issack Gerald-MPANDA . MADIWANI wanaounda baraza la madiwani halmashauri wa wilaya ya mpanda walioapishwa leo wametakiwa kuanza kazi kwa kuzingatia maadili na kuacha kufuata itikadi ya vyama vyao ili kuleta maendeleo ya wananchi kwaujumla.

HAKI ZA BINADAMU WACHARUKA KUHUSU UKATIRI UNAOENDELEA MKOANI KATAVI

Na.Issack Gerald-Mpanda Wananchi Mkoani Katavi wametakiwa kuripoti matukio ya ukiukwaji   wa haki za binadamu katika Ofisi za haki za binadamu wanapoona mamlaka husika Mkoani hapa zinawanyanyasa katika haki zao mbalimbali.

WANAWAKE KATAVI WAASWA KUTOA TAARIFA ZA UKATIRI

Na.Issack Gerald-MPANDA . WANAWAKE Mkoani Katavi wametakiwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika familia na jamii kwa ujumla.