WANAWAKE KATAVI WAASWA KUTOA TAARIFA ZA UKATIRI


Na.Issack Gerald-MPANDA.
WANAWAKE Mkoani Katavi wametakiwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika familia na jamii kwa ujumla.

Akizungumza na P5 TANZANIA MEDIA,Mwenyekiti wa Asasi ya Kiraia ya Faraja na  Urafiki kwa Wanandoa na Ushauri kwa Vijana (FUNUVI) Bi.Neema Kidima amesema  asilimia kubwa ya vitendo vya kikatili katika jamii unawakumba wanawake.
 Aidha,mwitikio wa wanawake kutoa taarifa za vitendo vya kikatili  umekuwa kubwa changamoto kutokana na mila na desturi zilizopo katika jamii.
Taifa limeadhimisha siku 16 za kupinga vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kuanzia oct 25 mwaka huu ambapo  kilele chake kimeafanyika jana  desemba  10, huku Mkoani Katavi kilele kikifanyika katika viwanja vya jeshi la polisi Mpanda.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA