Posts

Showing posts from August 8, 2016

TRA RUKWA,KATAVI,MBEYA,SONGWE,RUVUMA NA IRINGA WATAKIWA KUIMARISHA KITENGO CHA TAHMINI KODI ISIYOMGANDAMIZA MFANYABISHARA

Na.Ofisi ya mwasiliano ya Waziri Mkuu  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa imeitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania kuimarisha kitengo cha tathmini ili kuweka viwango halali ambavyo havitawagandamiza wafanyabiashara na uwepo uwazi kuhusu viwango stahili vya kodi wanavyotakiwa kulipa.

BREAKING NEWS:SERIKALI YA WILAYA YA TANGANYIKA YAOMBA RADHI MAMA MJAMZITO KUJIFUNGULIA NJE AKIWA MBELE ZAHANATI IKIWA IMEFUNGWA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Tanganyika Serakali ya wilaya ya Tanganyika imeomba radhi wakazi wa kijiji na kata ya Ipwaga kilichopo Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika kwa kitendo cha mama mjamzito kujifungulia nje akiwa mbele ya zahanati baada ya kufikishwa kituoni hapo kutokana na kituo hicho kufungwa na muuguzi akiwa hayupo.                                            Zahanati ya Ipwaga ambayo mama mjamzito alijifungulia nje baada ya kufikishwa hapo(PICHA.Issack Gerald)