Posts

Showing posts from August 23, 2017

TFS WASISITIZA KUWATIMUA WANANCHI WANAOVAMIA HIFADHI ZA MISITU-Agosti 23.2017

WAKALA wa huduma za misitu nchini TFS  Mkoani Tabora imeendelea kusisitiza azma yake ya kuwaondoa wananchi wote waliovamia kwenye maeneo ya hifadhi kufuatia uharibifu mkubwa unaofanywa na wananchi hao kutokana na kuendesha shughuli mbalimbali za kibinadamu ambazo zimekuwa zikichangia uharibifu.

TAMKO LA DED NKASI KUWALINDA WANAFUNZI WENYE UALBINO DHIDI YA JUA KALI-Agosti 23.2017

MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa Julius Kaondo amewapiga marufuku walimu wa shule za msingi na sekondari kuacha tabia ya kuwafanyisha kazi ngumu na kwenye jua kali wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi albino kwa kuwa kufanya hivyo wanawahatarisha afya zao na kupelekea kupata saratani ya ngozi.

WAZIRI NCHEMBA ATISHIA KUWAFUTIA URAIA WATANZANIA WABAGUZI-Agosti 23.2017

Image
WAZIRI wa mambo ya ndani Mh.Mwigulu Nchemba ametishia kuwafutia uraia watanzania wapya wa Katumba mkoani Katavi ambao walikuwa wakimbizi kwa muda mrefu kutokana na tabia ya ya baadhi yakubaguana kitaifa na kikanda. Waziri Mwigulu Nchemba