Posts

Showing posts from May 25, 2016

HAKIMU MFAWIDHI MAHAKAMA YA WILAYA MPANDA ATOA WITO KWA WAKAZI MKOANI KATAVI KUEPUKA KUFANYA VITENDO UHARIFU

WANANCHI Mkoani Katavi wametakiwa kutofanya vitendo vya uhalifu ili kuepuka   madhara ambayo yatapelekea   kufungwa endapo   watabainika na makosa.

WANAWAKE WANAOUZA MIILI YAO MPANDA WATAKIWA KUFIKA OFISI YA MKUU WA WILAYA KUPATA MBINU YA UJASILIAMALI KUEPUKA MAZINGIRA HATARISHI WALIYONAYO

WANAWAKE   Wanaofanya biashara ya Kuuza Miili yao   Maarufu kama (Dada poa) Mjini Mpanda   wametakiwa Kufika Katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mpanda ili Wapatiwe Mbinu za Kuunda Vikundi Vitakavyowawezesha Kuinua Uchumi ili kuwawezesha   Kuachana na biashara hiyo.

AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA WIZI WA SIMU MPANDA

MTU mmoja amefikishwa katika mahakama ya Mwanzo Mjini   Mpanda    kwa   Kosa     la wizi wa simu   zenye thamani ya shilingi laki tatu.

SAUTI YA BUNGENI DODOMA KUHUSU MAKAZI MAPYA YA KATUMBA MKOANI KATAVI

Raia wapya wa Tanzania wanaoishi Katika Makazi ya Katumba wanatarajia Kufanya Uchaguzi wa Viongozi wa   Serikali za Mitaa Mwaka huu ikiwa Mandalizi yameanza Kufanyika.

SAUTI YA BUNGENI DODOMA KUHUSU HALMASHAURI YA WILAYA MPIMBWE MKOANI KATAVI

Serikali imesema kuwa imetenga kiasi cha shilingi milioni 246 kwa ajili ya matengenezo ya Barabara za Halmshauri ya Wilaya ya Mpimbwe zenye urefu wa KM 42 kwa kiwango changalawe kwa mwaka wa fedha 2015/2016.