Posts

Showing posts from July 18, 2015

MIL.40 KUOKOA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI IGALULA WANAOSOMEA NJE WILAYANI MPANDA

Image
Wanafunzi Shule ya Msibgi Igalula chini ya Mti wakitumia mti huo kama darasa Juma Khatibu Chum akizindua vyumba vya madarasa Shule ya Msini Igalula ilyopo Wilayani Mpanda Wanafunzi wa Chekechea Igalula Wilayani Mpanda wakiwa darasani NA.Theressia Lwanji- Katavi Ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Igalula unatarajia kupunguza adha ya uhaba wa madarasa katika shule hiyo na kuondoa adha hiyo inayowapata wanafunzi shuleni hapo.

JESHI LA POLISI KATAVI LAWAONYA WATAKAOSABABISHA UVUNJFU WA AMANI SHEREHE ZA EID EL FITR

Image
Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Dhahir Athman Kidavashari akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) akizungumzia suala la kudumisha amani Mkoani Katavi  JESHI La Polisi Mkoani Katavi limetoa tahadhari kwa watu kutojihusisha na Vitendo vya Uvunjifu wa amani wakati wa Sherehe za Eid el Fitr inayoadhimishwa leo hapa nchini Tanzania.