Posts

Showing posts from August 8, 2015

PITIA VICHWA VYA MAGAZETI LEO AGOSTI 08,2015 UPATE HABARI KUBWA TANAZANIA NA NJE YA TANZANIA

Image

UVAMIZI OFISI ZA CCM SUMBAWANGA RUKWA,SAMANI ZA MWENYEKITI VYATUPWA NJE

Na.Mwandisi wetu-SUMBAWANGA. Baadhi ya wakazi wa manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa chama cha Mapinduzi, juzi wameivamia ofisi ya chama hicho ya wilaya ya Sumbawanga mjini.

IGP MANGU ZIARANI KATAVI KESHO NA KESHO KUTWA

Image
Mkuu wa Jeshi  la polisi Tanzania IGP Ernset Mangu Na.Issack Gerald-Katavi MKUU wa jeshi la polisi nchini Inspekta Jenerali Ernest Mangu anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Katavi kuanzia tarehe 9 hadi 11 mwezi huu. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na kamanda wa Jeshi la polisi mkoani Katavi,ASP. Dhahiri Kidavashari, imesema kuwa katika siku ya kwanza ya ziara hiyo, IGP Ernest Mangu,  atakuwa na fursa ya kuzungumza na wadau mbali mbali katika hoteli ya Lyamba Lya Mfipa majira ya jioni. Katika hafla hiyo waalikwa watapata chakula cha jioni pamoja na Inspekta Jenerali wa polisi hapa nchini.