Posts

Showing posts from February 19, 2016

IGP MANGU ATOA AGIZO KWA MAKAMANDA WA MIKOA YOTE NCHINI KUENDESHA OPARESHENI KALI DHIDI YA BODABODA

Image
Na.Mwandihi wetu-Dar es Salaam Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka Makamanda wa Polisi kote nchini kuendesha oparesheni kali ya kuwachukulia hatua kali za kisheria waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wasiotii sheria za usalama barabarani ikiwemo kubeba abiria zaidi ya mmoja, kupita katika taa nyekundu pamoja na kutovaa kofia ngumu.                                                 IGP Ernest Mangu

MZIMU WA RUSHWA WAENDELEA KUWATESA POLISI KATAVI,ASKARI WA JESHI LA POLISI MWINGINE MBARONI KATAVI KWA KUOMBA NA KUPOKEA RUSHWA

Image
Na.Issack Gerald-Katavi Askari wa jeshi la polisi Mkoani Katavi PC.G.451 Peter Exavery ameshitakiwa katika mahakama ya Wilaya ya Mpanda kwa tuhuma ya kupokea rushwa ya shilingi laki moja (100,000=/) kutoka kwa mzee aliyefahamika kwa jina la Ruchege Mambalo ili kumfutia tuhuma ya mkumjeruhi mtoto wake Lutobhisha Mambalo.