Posts

Showing posts from August 13, 2015

IGP MANGU AHIMIZA AMANI KATAVI

NA.Issack Gerald-Katavi MKUU wa jeshi la polisi nchini Inspekta jenerali Ernest Mangu, amesema kila mtu atimize wajibu wake ili kuhakikisha uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu, unafanyika kwa amani na utulivu.