Posts

Showing posts from August 17, 2015

MAJAMBAZI YAPORA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI SABA,YAJERUHI PIA

Na.Issack Gerald-KATAVI Jeshi la Polisi Mkoani Katavi linawashikilia watu wanne Wilayani Mpanda kwa tuhuma za kujeruhi na kupora kiasi cha shilingi milioni saba.

SERIKALI,JAMII WAOMBWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA

NA.Issack Gerald-NSIMBO Serikali na Jamii kwa ujumla Mkoani Katavi imeombwa   kutoa misaada kwa watoto yatima na watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.