Posts

Showing posts from February 1, 2016

JAMII KATAVI YATAKIWA KUTAMBUA HAKI YA ELIMU KWA WATOTO WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald-Mpanda JAMII wilayani Mpanda Mkoani Katavi   imetakiwa kutambua haki ya elimu kwa watoto wenye ulemavu kwa kuwaandikisha katika shule zinazotoa elimu maalumu kwa watoto walemavu.

HAKIMU MAHAKAMAYA WILAYA YA MPANDA ATOA NENO KWA WANAKATAVI KUHUSU SIKU YA SHERIA FEBRUARI 4,2016.

Na.Issack Gerald-Mpanda WAKAZI wa Mkoa wa Katavi wameaswa kuyatumia vizuri maadhimisho ya siku ya sheria nchini, kupata elimu inayotolewa na wadau wa sheria ili kuelewa haki na wajibu wa raia.

KESI YA KUVUNJA DUKA YAENDELEA KULINDIMA MPANDA,HAKIMU ATUPILIA MBALI OMBI LA MSHTAKIWA

Na.Issack Gerald-Mpanda KESI ya kuvunja duka na kuiba nguo zenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nne na elfu arobaini, inayomkabili Bw. Reuben Remmy mkazi wa Makanyagio,mwishoni mwa wiki ya Januari,imeendelea kusikilizwa katika mahakama ya Mwanzo mjini Mpanda.