Posts

Showing posts from July 13, 2017

BABU NA MJUKU WAKE MKOANI KATAVI WALIPUKIWA NA MOTO WA NYAYA ZA KUPASULIA MIAMBA-Julai 13,2017

WATU wawili akiwemo mtoto mwenye umri wa miaka miwili na nusu wakazi wa Mtaa wa Nsemulwa Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wamefikishwa katika hospitali ya Manispaa ya Mpanda,baada ya leo kutokea mlipuko na kujeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao.