Posts

Showing posts from August 13, 2016

MCHUNGAJI MORAVIAN JELA MIAKA 20 KWA MENO YA TEMBO

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi MAHAKAMA ya Mkoa wa Katavi imemhukumu Mchungaji wa Kanisa la Moravian kijijini Usevya wilayani Mlele, Godwel Siame, kifungo cha miaka 20 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la uhujumu uchumi la kukutwa na meno ya tembo ya uzito wa kilo 20 yenye thamani ya Sh milioni 90. Meno ya Tembo