Posts

Showing posts from June 7, 2016

TFDA KATAVI YATEKETEZA TANI 2 ZA BIDHAA BANDIA ZENYE THAMANI ZAIDI YA SHILINGI MIL.6

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini FFDA Kanda ya Magharibi Imeteketeza bidhaa mbalimbali   zisizofaa katika matumizi ya binadamu   zenye thamani ya shilingi Milioni 6 na laki 5 Ambazo ni sawa na tani 2 zilizoingizwa Kinyemela nchini.