Posts

Showing posts from October 14, 2016

2017 MWENGE KUWASHWA MKOANI KATAVI KUZIMIWA ZANZIBAR

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama UZINDUZI wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2017 unatarajia kufanyika Mkoani KATAVI na kilele cha mbio za mwenge huo kitafanyika Zanzibar.                                                  

TANZANIA NA UHORANZI ZASAINIANA MKATABA WA KUWEKA UMEME WA UHAKIKA MKOANI KATAVI,ZAIDI YA VIJIJI 15 KUNUFAIKA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi SERIKALI za Tanzania na Uhoranzi kwa pamoja zimesainiana Mkataba wa Shilingi Bilioni 44/= ili kufanikisha ukamilika kwa mradi wa umeme wa uhakika Mkoani Katavi ifikapo mwezi Juni mwaka 2017. Mashine zinazofua umeme