Posts

Showing posts from February 4, 2016

ASASI ZA BINAFSI ZA KIRAIA NA SERIKALI ZAAGIZWA KUELIMISHA JAMII MASUALA YA SHERIA KATAVI,RAIS MAGUFULI NAYE ATOA AGIZO KALI DAR,MAHAKAMA YA MAFISADI KUJENGWA MWAKA HUU

Image
Na.Issack Gerald- Katavi Asasi za kiraia na zile za serikali zikiwemo vyombo vya habari, wanaharakati wa haki za binadamu wametakiwa kushirikiana kwa pamoja kuelimisha jamii juu ya kanuni zinazotumika kushughulikia kudai haki za madai na jinai kwa mjibu wa kanuni na sheria hapa nchini.                                             

WABUNGE KATAVI WACHACHAMALIA MAJI,UMEME BARABARA

Na.Issack Gerald-Bungeni Dodoma (Kuhusu Katavi). SERIKALI imeanza mikakati ya kukamilisha miradi ya maji   ili wananchi wapate maji kama ilivyo kusudiwa.

MWANAFUNZI SHULE YA MSINGI AFA MAJI MPANDA

Na.Issack Gerald-Mpanda Mwanafunzi shule ya msingi Kashato aliyejulikana kwa jina la Julius Justin Albano(12) mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Kashato amekufa maji akiwa anavua samaki katika mto Mpanda maeneo ya Kigamboni.