Posts

Showing posts from September 9, 2016

MIFUGO KUZAGAA MITAANI KWAPIGWA WILAYANI KIBONDO

Na.Mwandishi wetu- Jastini Cosmas-Kibondo Kigoma HALMASHAURI ya wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma,imewaagiza wananchi katika Halmshauri hiyo kutoachia mifugo yao ovyo katika kipindi hiki cha msimu wa kilimo,kutokana na mifugo hiyo kuwa waharibifu wa mazao.