Posts

Showing posts from September 8, 2016

KINACHOIGUSA MIKOA YA KATAVI,RUKWA NA KIGOMA KUTOKA VIKAO VYA BUNGENI DODOMA LEO SEPTEMBA 8,2016

Image
Na.Issack Gerald-Dodoma Serikali imesema,inaendelea kuweka mikakati ya kuwa na kiwanda cha kutengeneza pikipiki za bodaboda ili kuwajengea vijana kuwa na uwezo wa kununua pikipiki zao,kuliko kuendelea kuwatumikia matajiri wenye uwezo wa kumiliki pikipiki hizo. Wabunge wakiwa bungeni Mjini Dodoma leo Septemba 8,2016