Posts

Showing posts from July 31, 2015

WATUMISHI WA UMMA MPANDA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA SIASA WAKATI WA KAZI

Image
Watumishi wa umma wakiwa katika Ukumbi wa shule ya Sekondari St.Mary's Mpanda katika semina iliyoendeshwa na Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Mpanda Vicenti Kayombo Watumishi mbalimbali katika manispaa ya Mpandaa katika Semian ukumbi wa Shule ya Sekondari St.Mary's Manispaa ya Mpanda katika kikao cha utum,ishi wa umma kikendeshwa Kaimu Mkurugenzi Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda Vicenti Kayombo Na. Mark Ngumba-MPANDA WATUMISHI Wa Umma wametakiwa Kutojihusisha na Maswala ya Siasa wakati wa Kazi na badala yake wahakikishe wanatimiza wajibu wao wa  Kuwahudumia wananchi Katika Maeneo yao ya Kazi.

JESHI LA POLISI KATAVI LAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU BVR

Na.Mark Ngumba-MPANDA JESHI La polisi Mkoani Katavi limewataka wananchi Kuwa Makini na Ujumbe unaosambazwa  Katika Mitandao  ya Simu kwa Madai ya Kuhakiki taarifa za watu waliojiandikisha Kupiga kura Kwa Kutumia mashine za Kimtandao BVR.

OFISI ZA MFUKO WA BIMA YA AFYA NHIF ZAFUNGULIWA KATAVI

Image
  Na.Issack Gerald-Katavi Wanachama wa Mfuko wa hifadhi ya afya ya jamii NHIF  Mkoani Katavi wanatarajia kunufaika na  huduma hiyo itakayo kuwa ikitolewa Mkoani hapa badala ya Sumbawanga Mkoani Rukwa kama  ilivyokuwa awali.