OFISI ZA MFUKO WA BIMA YA AFYA NHIF ZAFUNGULIWA KATAVI





 Na.Issack Gerald-Katavi

Wanachama wa Mfuko wa hifadhi ya afya ya jamii NHIF  Mkoani Katavi wanatarajia kunufaika na  huduma hiyo itakayo kuwa ikitolewa Mkoani hapa badala ya Sumbawanga Mkoani Rukwa kama  ilivyokuwa awali.

Hayo yameelezwa leo na Meneja wa mfuko wa taifa wa bima ya afya NHIF Mkoani Katavi Clement Masanja wakati akizungumza na Mpanda Radio fm.
Aidha Masanja ameongeza kuwa   mwanachama halali wa NHIF anapewa nafasi ya kupata huduma ya Kutibiwa mahali popote Nchini ambapo katika Mkoa wa katavi ofisi za NHIF zimefunguliwa mwezi june mwaka huu kwa lengo la kusogeza huduma kwa wanachama wake.




Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA