Posts

Showing posts from August 5, 2015

P5 TANZANIA INAKULETEA WASIFU WA WAGOMBEA KITI CHA URAIS WA TANZANIA,TUNAANZA NDANI YA UKAWA,Mh.Edward Lowassa

Image
  Edward Lowassa aliyeshika maikikrofoni na aliyevaa shati jeupe Edward Ngoyai Lowassa Edward Ngoyai Lowassa Mbunge Bunge la Tanzania Jimbo la uchaguzi Monduli ( Arusha ) Tarehe ya kuzaliwa 26 Agosti 1953 Chama CHADEMA (tangu 28/07/15) Tar. ya kuingia bunge tangu 1990 Alirudishwa mwaka 2005 Waziri Mkuu wa Tanzania Alingia ofisini 2005 Alitanguliwa na Frederick Sumaye Dini Mkristo Elimu yake Chuo Kikuu Digrii anazoshika MA (Development Studies) University of Bath (Uing.) Kazi mwanasiasa Edward Ngoyayi Lowassa (amezaliwa 26 Agosti 1953 ) ni mwanasiasa nchini Tanzania . Alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa kumi wa nchi hiyo tarehe 30 Desemba 2005 akajiuzulu tarehe 7 Februari 2008 kwa kutajwa katika kamati ya bunge ya uchunguzi katika utoaji wa tenda kwa kampuni ya umeme