Posts

Showing posts from September 23, 2015

MWANAMKE AKAMATWA NSIMBO AKIANDIKA MAJINA NA NAMBA ZA VIPARATA

Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la SALOME MAKALA, miaka 56, mkulima, mnyamwezi mkazi wa Mwenge Kitongoji cha Legezamwendo septemba 21 siku ya Jumatatu majira ya saa 4:00 kamili usiku alikamatwa akiwa anaorodhesha majina ya wanakijiji wa kijiji cha Mwenge Kata ya Nsimbo Wilayani Mlele Mkoa wa Katavi kwenye daftari kwa kuandika majina yao na namba za vipalata vyao (kadi ya mpigakura).

UKATA WA PESA TANAPA KATAVI CHANZO CHA KUSHINDWA KUANDAA MAADHIMISHO SIKU YA TEMBO KIMKOA

NA.Issack Gerald-Katavi Uongozi wa hifadhi ya taifa ya wanyama ya Katavi umeshindwa kuandaa maadhimisho ya siku ya tembo kutokana na ukata wa kifedha ulipo katika shirika hilo mkoani hapa.

TWAWEZA WATANGAZA MATOTKEO YA UTAFITI CCM YAONGOZA,WAKAZI KATAVI WAONYA

Image
  Baadhi ya wakazi katika Picha wakijadili matokeo yaliyotangazwa na Taasisi ya twaweza jana Jijini Dar es Salaam Issack Gerald-Katavi Baadhi ya wakazi Mkoani Katavi wameitaka tume ya uchaguzi na tume ya haki za binadamu kufanya uchunguzi na kutorusu utafiti wa kutangaza matokeo kabla ya uchaguzi kufanyika.