Posts

Showing posts from March 8, 2016

WANAWAKE WILAYANI MPANDA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUFANYA USAFI HOSIPTALINI

Na.Issack Gerald-Mpanda WANAWAKE Mkoani Katavi,wameungana na wanawake wengine duniani kuadhimisha siku ya wanawake duniani.

WANNE WAKAMATWA NA MENO YA TEMBO KATAVI

Na.Issack Gerald-Mlele Jeshi la Polisi Mkoani Katavi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za kukutwa na vipande vitatu vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilogramu 11 vyenye thamani ya shilingi milioni 32,530,650 /=ambayo ni sawa na tembo 01 aliyeuawa.