RPC KATAVI ATAKA SILAHA ZISALIMISHWE
Na.Issack Gerald-Katavi Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limewataka wananchi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha mara moja silaha hizo katika vituo vya Polisi vilivyopo karibu na makazi yao.
PURE PREPARATIONS PREVENTS POOR PERFORMANCE