Posts

Showing posts from September 28, 2017

WAKAZI KATA YA MPANDA HOTEL WAELEZEA KUFURAHISHWA NA HATUA YA KUTATUA TATIZO LA MAJI-Septemba 29,2017

Na.Issack Gerald-Katavi BAADHI ya wakazi wa kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda wameelezea kufurahishwa na hatua ya uchimbaji mitaro ya kupitisha mabomba kwa ajili ya kuleta huduma ya maji katika katika kata hiyo.

HALMASHAURI ZOTE MKOANI KATAVI ZATAKIWA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WAZEE-Septemba 28,2017

Na.Issack Gerald-Katavi Halmashauri  zote Mkoani Katavi zimetakiwa kuandaa vitambulisho kwa wazee wote waliokidhi vigezo vya kupatiwa matibabu bure.