Posts

Showing posts from April 21, 2016

WATUMISHI HEWA MPAKA SASA MANISPAA YA MPANDA NI SIFURI PIA KUONGEZA MAGARI MAWILI KWA AJILI YA UZOAJI TAKA

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda imesema mpaka sasa haina mtumishi hewa hata mmoja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dk.John Pombe Magufuli aziagize Halmshauri zote nchini kuhakiki watumishi hewa.

MKUU WA MKOA KATAVI ATANGAZA KIYAMA KWA MAJAMBAZI

Image
SERIKALI Mkoani Katavi imesema haitawavumilia watu au mtu atakayehusishwa na Uvunjaji wa amani ikiwemo kuteka magari Kama ilivyoripotiwa Kutokea hivi karibuni.                                                  

MWENYEKITI WA KIJIJI ALIA NA HUJUMA ZA DIWANI,MTENDAJI KUMZUSHIA KUSIMAMISHWA KAZI,YEYE ASEMA AMELETA MABADILIKO MAKUBWA,AJIVUNIA KUTAFUTA ENEO LA UJENZI WA SHULE.

MWENYEKITI wa kijiji cha Muungano Kata ya Ibindi amekanusha kauli iliyotolewa na Diwani Bw: Jastini Shinje   kuwa amesimamishwa na wananchi kuendelea na wadhifa wake katika kijiji hicho.