Posts

Showing posts from July 19, 2015

KATIBU MWENEZI CHADEMA RUKWA NA KATAVI AHAMIA CCM

NA.Issack Gerald-Katavi Aliyekuwa Katibu mwenezi kupitia chama cha Demkrasia na Maendeleo Mikoa ya Rukwa na Katavi John Matongo ametangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho na kujiunga na Chama cha Mpainduzi CCM.

WATOTO KATAVI WATAKIWA KULELEWA MAADILI YA KUITUMIKIA TANZANIA

Image
Waislam katika sgerehe za Eid Elfitri Mjini Mpanda Wa nne kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi akishiriki Ibada ya Eid Elfitri Msikiti Mkuu wa Ijumaa Mjini Mpanda NA.Issack Gerald-Katavi Jamii Mkoani Katavi imetakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kuwatumikia watanzania katika utumishi wa umma wanapokuwa wakubwa.