Posts

Showing posts from September 24, 2016

MKUU WA WILAYA YA MPANDA AHAMASISHA HARAMBEE KUWACHANGIA WAATHIRIKA WA TETEMEKO LA ARDHI MKOANI KAGERA

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama- Mpanda Katavi MKUU wa Wilaya ya Mpanda Bi. Lilian Charles Matinga,ametoa wito kwa wakazi wa Wilaya ya Mpanda kujitokeza kwa hiari katika harambee ya kuwachangia wakazi wa Mkoa wa Kagera walioathiriwa wa tetemeko la ardhi Septyemba 10 mwaka huu.

KAMATI TENDAJI MRADI ELIMU JUMUISHI MKOANI KATAVI NA UJUMBE WA UGENI KUTOKA MIKOANI WAFANYA KIKAO KUJADILI MAHITAJI YA WATOTO WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Katavi JAMII Mkoani Katavi imetakiwa kushiriki ipasavyo kuwafichua watoto wenye Ulemavu ili wapatiwe elimu kama watoto wengine wasio na ulemavu.