Posts

Showing posts from July 26, 2016

BALAZA LA MADIWANI LAOMBA SHERIA ZA ZIMAMOTO KUPITIWA UPYA,MBUNGE VITI MAALUMU PAMOJA NA MAMBO MENGINE KULISEMA BUNGENI.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi BARAZA la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limeliomba jeshi la zimamoto na uokoaji   Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kupitia upya sheria inayomtaka mwananchi kuchangia kiasi kikubwa cha fedha ukilinganisha na uwezo wa mwananchi kumudu gharama hizo kwa mwaka. Wataalamu mbalimbali katika Manispaa ya Mpanda wakishiriki kikao cha mwaka cha Baraza la madiwani Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)

MKOA WA KATAVI KUANZISHA BENKI YA WANANCHI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Mkoa wa Katavi umepanga kuanzisha benki ya wananchi kwa ajili kurahisisha na kuharakisha maendeleo ya wakazi wa Mkoa wa Katavi. Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake (hawapo pichani) kuhusu uanzishwaji wa benki ya wananchi(PICHA NA.Issack Gerald) Mwenyekiti wa kamati ya Waratibu wa Benki ya wananchi Mkoa wa Katavi                              

MKUU WA MKOA WA KATAVI KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANZISHWAJI BENKI YA WANANCHI.

Image
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga   leo anataraji kukutana na kuzungumza na vyombo vy ahabari ili kueleza mikakati ya uanzishwaji wa benki ya Wananchi Mkoani Katavi. Ofisi za mkuu wa Mkoa(PICHA NA.Issack Gerald

MBUNGE VITI MAALUMU MPANDA AMWAGA MSAADA WA FEDHA NA BAISKEL KWA WANAWAKE

Image
Wanawake wajasiliamali wakiwa katika mkutano na mbunge viti maalumu Mh.Anna Lupembe(PICHA NA.Issack Gerald)                                         Mbunge viti maalumu akizungumza na wanawake wajasiliamali katika viwanja vya shule ya Msingi Kashato(PICHA NA.Issack Gerald)                                       MBUNGE wa Wakati huo huo Mh.Anna Lupembe amekabidhi Shilingi milioni 4 kwa vikundi 40 kati ya 80 vya wanawake   alivyoviunda na kuvipatia elimu ya ujasiliamali Aprili mwaka huu.

MANISPAA YA MPANDA 2016 YAPANGA KUFAULISHA WANAFUNZI KWA 98% KWA SHULE ZA MSINGI

Image
MANISPAA ya Mpanda iliyopo Mkoani Katavi imepanga kufaulisha wanafunzi wa shule za msingi kwa asilimia 98. Baadhi ya wanafunzi Shule ya Msingi Nsemulwa Manispaa ya Mpanda wakiwa darasani(PICHA NA.Issack Gerald)                                

MKOA WA KATAVI WABAKIZA MADAWATI 2108 KUMALIZA TATIZO LA MADAWATI SHULENI,MKUU WA MKOA ASEMA KIKOMO CHA TATIZO JULAI 31 MWAKA HUU.

Image
Mkoa wa Katavi umekamilisha madawati 13915 kati ya madawati 15452 yanayotakiwa kukamilisha idadi ya madawati yatakayokuwa yakikidhi idadi ya wanafunzi kwa shule za msingi ambapo mpaka sasa uhaba wa madawati kwa Shule za Msingi Mkoani ni madawati 1537 . Sehemu ya madawati 327 yaliyokabidhiwa na wabunge Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)