Posts

Showing posts from September 9, 2017

SUMATRA,KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI MKOANI RUKWA WATAKIWA KUTOA ELIMU ILI KUDHIBITI AJALI-Septemba 9,2017

Image
JESHI la polisi Mkoani Rukwa limeitaka mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu Sumtra pamoja na kikosi cha  usalama barabarani kujitahidi kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara.