Posts

Showing posts from August 22, 2016

WATENDAJI WA HALMASHAURI MKOANI KATAVI WATAKAOCHEZEA FEDHA ZA MAENDELEO KUUNGUZWA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watendaji wa halmashauri mkoani Katavi kuwa makini na matumizi ya fedha za maendeleo zinazopelekwa katika maeneo yao na atakayethubutu kuzichezea zitamuunguza. Waziri Mkuu akiwapungi amkono wananchi